Muchungaji wangu - Victor prod

Muchungaji wangu

5.0 of 5 stars
4 votes
Share this Song

Muchungaji wangu Lyrics

Umeniweka imara 

Nakujivunia miye 

Kwa makubwa na matendo 

Umenitendea miye

We ndo muchungaji wangu

Sitasumbukiwa na kitu

Hakika wema wako fazili zako zita nifata

Nani kae nyumbani mwako milele amina

Umenifanya imara

Umeniweka pole pole

Umerejesha nafsi yangu

Nakuniongoza kwenye njiya za haki

Kando ya maji ya utulivu(huniongoza)

Katika malisho ya majani ma bichi(hunilaza)

Ata ni pite kwenye uvuli wa mauti sita ogopa maana bwana yuko nami

Maana ameandaa mega 

Mbele ya maadui zangu

(Chorus)

Umeniweka imara Nakujivunia miye 

Kwa makubwa na matendo...........................

Umenipaka mafuta 

Kichwani pangu 

Na kikombe iki kyangu 

Kinafurika

Hakika wema fazili zako 

Zita nifata milele amina 

Umenipaka mafuta

Kichwani pangu 

Na kikombe iki kyangu 

Kinafurika

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep HowweBiz a safe and vibrant place for music lovers!

Download the Howwe Music App
Howwe App
Howwe WhatsApp
Howwe WhatsApp